
Shilole kama kawaida.



Shilole akiwa kazini baada ya kutoa mwaliko wa kudance na shabiki

Juma Nature na timu yake..

Chege na Temba



Godzilla…

Cassim Mganga

Young Killer Mwanza Mwanza





Stamina…

Kingzillah…

Mr Blue




Ay

Mwana FA








J Martins wa Nigeria nae alikuwepo kufanya showa mbapo kama ilivyotekea kwa show yake ya kwanza ya Fiesta pale 96.0 Tanga, J aligawa zawadi kwa fans aliowaita yeye mwenyewe kwenye stage…. Tanga aligawa cheni pamoja na pesa na Moshi kagawa saa na pesa kwa mashabiki wawili tofauti.






Weusi kwenye stage

Hii picha ya juu na ya chini ni shangwe walilopigiwa Weusi wakati wakiwa kwenye stage





Ay

Mwana FA








J Martins wa Nigeria nae alikuwepo kufanya showa mbapo kama ilivyotekea kwa show yake ya kwanza ya Fiesta pale 96.0 Tanga, J aligawa zawadi kwa fans aliowaita yeye mwenyewe kwenye stage…. Tanga aligawa cheni pamoja na pesa na Moshi kagawa saa na pesa kwa mashabiki wawili tofauti.






Weusi kwenye stage

Hii picha ya juu na ya chini ni shangwe walilopigiwa Weusi wakati wakiwa kwenye stage


Dullysykes…


Rich Mavoco



Rich Mavoco

Jambo Squad… Mamong’o


Show ilihostiwa na B12 na Dj Fetty kutoka XXL ya Clouds FM.

Ney wa Mitego

Linah Sanga…


Christian Bella…

Ally Nipishe

Ally Nipishe

Mmetisha watu wangu wa nguvu Moshi…. hongereni kwa kumaliza ticket aisee! daaa



