Mavazi ya nusu utupu ambayo msanii Esterlina Sanga ‘Linah’ hupenda kuyavaa hasa kwenye matamasha yamekuwa yakiwadatisha wanaume na wengine kuomba kupiga naye picha kwa lengo la ‘kujipoza’ kama ilivyotokea kwenye Fiesta, Dar hivi karibuni.
Linah akipozi na mmoja wa wanaume walioomba kupiga naye picha.
Ijumaa limekuwa likimfuatilia Linah na kubaini kuwa kila mara hupenda
kuvaa nguo zinazoacha wazi mapaja na kitovu chake na watu ambao amekuwa
akipiga nao picha ni wanaume ambao wengi huonekana wakiwa wamemshika
kimahaba.