ARSENAL, MAN U NGOMA DROO

Mshambuliaji wa Arsenal, Olivier Giroud akijaribu kuipa ushindi Arsenal bila mafanikio.
Kipa wa Arsenal Wojciech Szczesny akiondoa mpira wa kichwa uliopigwa na mshambuliaji wa Man U, Robin Van Persie.
Antonio Valencia wa Manchester United akiokoa hatari golini kwake kwa kichwa.
Arsenal wameshindwa kufurukuta kwa Manchester United na kulazimishwa sare ya 0-0 mechi ya Ligi Kuu England iliyopigwa Emirates, London usiku huu! Kwa matokeo hayo Arsenal wanabaki nafasi ya 2, Man U wakiwa nafasi yao ya 7!


Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...