
Uwoya
amchana live mpenzi wa Flora Mvungi i.e H-baba kwamba hafai katika
mapenzi kwa sababu hana stamina katika uwanja wa 6 kwa 6. Flora Mvungi
naye akaja juu na kudai kwamba maneno ya Uwoya ni maneno ya mkosaji na
akadai zaidi kwamba H-baba hana tatizo katika mapenzi na yuko fiti ile
mbaya.

Wakati
malumbano yakiendelea,dada mmoja akapiga, akakataa kutaja jina lake
lakini naye akazidi kuchagiza kwamba H-baba si lolote si chochote katika
ulingo wa ma-lovey dovey,ana mbwembwe za kukata viuno jukwaani tu.Haya
ndio mapenzi ya ma-star wa ki-bongo