BREAKING NEWS: BASI LA HOOD LAUA WATANO ARUSHA


Ajali iliyohusisha basi la HOOD na daladala maeneo ya Usa River mkoani Arusha muda huu...Ambapo dereva wa dala dala kafariki hapo hapo


Watu 5 wamekufa baada ya basi la Hood kwenda Mbeya kugongana na Hiace eneo la Kilala, Arusha asubuhi hii, wengi wajeruhiwa. Taarifa zaidi baadaye.


Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...