PICHA ZA AIBU ZA IRENE UWOYA ZAZUA GUMZO INSTAGRAM



Katika  hali  isiyokuwa  ya  kawaida, msanii  mkubwa  wa  bongo  movie, Irene  Uwoya  ametupia  picha  mtandaoni  akiwa  hana  nguo  ya  juu  kiasi  cha  kutafsiriwa  vibaya  na  mashabiki  wake  kwamba  ameanza  kujiuza....

Uwoya  alijipiga  picha  hiyo  na  kuitupia  mtandaoni  akiwa  ameandika  ujumbe  wa   kuwananga  watu  waliompa  ushauri  wa  kutorudia  kitendo  hicho  kwa  kuwa  yeye  ni  mke  wa  mtu....

"Unajua  dada  wewe  ni  mke  wa  mtu  usifanye  hivyo, wewe  ndo  ulinifungisha  ndoa? Mbona  mnakimbelembele  wabongo!  Please  Mind  your  Business....." aliandika  Uwoya.

Tabia  ya  baadhi  ya  mastaa  kutuma  picha  zao  za  uchi  mtandaoni  bila  kujali  nafasi  zao  kwa  jamii  imechukua  nafasi  kubwa  hivi  sasa, hali  inayolalamikiwa  kukiuka  maadili  ya  mtanzania.


Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...