MASHABIKI WAMTAKA DIAMOND KUACHA KUMTUMIA WEMA KIBIASHARA

Kundi la watu wanaojiita mashabiki wa Wema Sepetu, limeanzisha kampeni kwenye mtandao mmoja wa maarufu wa kijamii kampeni iliyopewa jina la #BringBackOurWema likimshinikiza mpenzi wake Diamond Platnumz amrudishe kwenye maisha yake ya zamani na kukuza career yake ya filamu.
Mashabiki hao wanaamini kuwa Diamond anampoteza Wema na amekuwa akitumia umaarufu wake (Wema) kujidhatiti zaidi yeye huku Miss Tanzania huyo wa zamani akiendelea kudidimia.

Hivi ndivyo maelezo yanavyosema:
@diamondplatnumz mambo vipi? Sisi mashabiki wa @wemasepetu tunakuomba umsaidie Wema kama yeye anavyokusaidia. Labda niseme kwa uwazi bila woga kwamba mahali ulipo kimziki umefika sababu ya Wema. Wengine hatukuwa mashabiki wako lkn sababu ya mapenzi kwa Wema tukajilazimisha kukupenda tu… so unajua vema bila wema we mziki huna!SOMA ZAIDI>>
Tunakuteteaga tu lkn huwezi kujilinganisha na wanamuziki wengine tunaowajua wanafanya vema kuliko wewe….leo sitawataja majina! nije kwa point yangu sasa wewe si mwanaume? Tuoneshe sasa! “Umetembea tembea nchi mbalimbali” umekutana na watu wa aina mbali, hujamtambulisha wema huko kibiashara, unaishia kusema maneno maneno ya sifa lkn unamwacha Wema anapotea.
Angekuwa Wema she’s always proud of you kukutaja popote hata angepata ile nafasi ya kuongea na Karuache angekutaja, umeonana na kina Davido+Iyayna bila kutaja waigizaji wakubwa Nigeria…Wema ni brand tunamlinganisha na top stars Africa!! We una nafasi kubwa sana kumfanya Wema aonekane..but what your doing unampoteza kwa makusudi. Unamchezesha viduku, Ulipomwacha alikuwa na maendeleo makubwa alikua ameshatengeneza wanamuziki wake, nyumba yake, kipindi chake cha in my shoes kilianza bila mkono wako. Ukaona hapa atakuzidi na unajua jinsi anavokupenda ukamtumi, hujawahi kusema hadharan feelings zako kwake zaidi ya mafumbo mafumbo
Hujawahi kukanusha ile interview ya spora uliyomdiss vibaya Wema….
Je tueleweje sasa? Si lazima kuanika kila kitu mambo yenu binafsi. Wema haoni kwa sasa sababu ya mapenzi yake kwako…tunakuambia leo kama hauna nia nzuri na Wema tunakuomba umuache. Maana unajua tu akimpigia promo mwanamuziki wake Mirror utapotea kwa game. She has all this power tunaomba usimtumie kwa maslahi yako binafsi. #bringbackourwema.
Haya ni maoni ya wengine:
lula_marii
Daaaaaaah kwa ukweliii wema unalegealegea ..yaani how comes you don’t have any respect from da guy who claims to love yuh?anawezaje kushikashika na kusugulia madem haswaaa ukiwa na yy kwa stage…juzi fiesta everyone saw wat diamond did with linah…wit out even thinking of da feelings of our madam…booooo pliz dnt say that is his professionals…coz its only singing that is his profsional…..@wemasepetu.open ur eyes….@diamondplatnumz pliiiiiz wit all due respect ,achaaa tabia za utoto
bintijasho

Siku nyingi nilikua nataka kusema hichi kitu lakini leo @mrekebishatabia umesemakweli kabisa @diamondplatnumz anaakili san amepinga hesabu akaona wema anamsanii wake nawema anamashabiki wengi alijua tu mirror atakuja kua juu sasa akaona heri arudia na wema apate kumvuringia mipango yake wallah na muonea huru huyu mdogowangu maski yana siku hizi hata mirror simsikii akimtaja @mrekebishatabia umefanya jambo zuri sana l hope @wemasepetu ataupata ujumbe wako

gennomaxmillan
@diamondplatnumz ww sio mwanammebora kwa wema bali n kvuli cha mwanamme japo mm n nwananch wa kawaida sio star lkn bby wangu kanpa maisha mazur na tunafamilia yenyefuraha.@mekebishatabia maisha ya wema hayavutii kbsa haelewek na ni kwel kbsa biła wema huyo jamaa alkuwa hajui ata kuomba maji kwa kizungu chek wema kajitoa kampa darasa badała alipe fazla anakaz ya kujtangaza na kutukandamizia mdogowetu@wemasepetu mm nakapenda sana kawema ni kazr lkn huwa hakubali ukwel ebu kataa kuanikwa kwa magazet ish kama wakna monalisa jack happy magese nancy angel damas na wengne weng ambao walpata kujulkana kama ww mbona maisha yataenda tu humuon mama krsh alivyo sasa eti mpnz ebu tazama alipo uwoya ameona bora kuish kawaida na bado yupo vzr sana huwez jua kama n mama wa jembe@uwoya kaa na .mwenzako bby anapotea
dougiemasta14
lawama zang mm zinaenda kwa @diamondplatnumz ni mtu ambae ntamlaumu milele kubadilika kwa wema hiv dai unajiskiaje mwanamke wako akipanda juu ya stage nakuanza kukata viuona chini yake kuna maelf ya watu wanamshangilia hiv unajua kuna wangapi wanao mtamani? Kuna wengine wakimuona tu wema huko chin hatr...dai srry for saying dis but in another point ww ndie unae mrudisha wema nyuma kuna muda huwa najiulize do u real love her ss hapa hamjaona ukishamua sindo tunampoteza kabisa...kwa ninavyo jua mpnz wako ndio mshaur wako wakwanz lakin ss mpnz ww uko busy kumshaur akacheze show for real...ok iko wap ile movie yenu ya china kila siku coming soon yan mnafanya watu wawaoneni waongo na hamna akili me vipo vingi navijua sema kwa heshima ya wema naonaga nijikaliege kimya..mm najua dai huskindwi kumkatia wema ticket uende nae out de country since merudiana tunaona post za wema kukununulia vitu but I had nvr seen ww kumfanyia wema something is dis wat u call love? O kunyonyana kimya kimya we kama mwanaume huwez mruhus mwanamke wako anaenda kweny vigodoro kufanya nn ss...wema if giving u makavu will help u to realise that we want dat am ready to start giving u makavu ...dont make ppo loss interest with u kutupenda sio kusema na kutuchezea show but kuonesha but listen to wat we want...ss tutaanza kukuchapa fimbo na leo hii me natangaza @martinkadinda nakuingilia kazii yakooo ss tutaanza kwenda kitemi maana kimya kimya hatuelewani...baadae ntarud kwa nyie washabikiii


Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...