AJALI YAUA 12 HANDENI, MKOANI TANGA Unknown 10:15 AM Watu zaidi ya 12 wameripotiwa kufa na wengine kujeruhiwa baada ya basi walilokuwa wakisafiria la Burudani kutoka Korogwe kwenda Dar es Salaam kupinduka katika kijiji cha Taula wilayani Handeni mkoani Tanga. Chanzo: East Africa Radio Share this Share on FacebookTweet on TwitterPlus on Google+ Related PostsHATARI: NYUMBA ALIYOIJENGA LULU YATUMIKA KWA KUTAPELIMFANYABIASHARA KARIAKOO AKUTWA GESTI LIVE NA SHEMEJIYE GESTIMAGAZETI YA LEO IJUMAA APRIL 25, 2014 "HAPPY BIRTHDAY" C.E.O WA EDDY BLOG, MDAU EDWIN MOSHIAUNTY LULU ACHEZEA KICHAPO NA MBEBS WAKE KUDADADEKI WALAHIYULE MWIMBAJI WA NYIMBO ZA INJILI ALIYEKENGEUKA, AACHIA ZINGINE ZA UTUPU, HIZI HAPA