Home »
Uncategories »
TMA YAWAASA WANANCHI KUTOPUUZA TAHADHARI ZITOLEWAZO
TMA YAWAASA WANANCHI KUTOPUUZA TAHADHARI ZITOLEWAZO
Unknown
3:16 PM
Mkurugenzi
wa ofisiya Zanzibar, Bw Mohamed Ngwaliakitoa maelezo ya takwimuza hali
mbaya yahe wailiyowahi kutokea kwa kipindi cha miaka 50 katika visiwa
vya Unguja na Pemba, akisisitiza wananchi kutopuuza tahadhari
zitolewazo.
Ofisa
Uhusianowa TMABi.Monica Mutoni akitoa elimu kwa umma jinsi ya kupata
taarifa za hali yahe wakupitia njia mbalimbali za usambazaji wataarifa
hizo kwenye maonesho ya maadhimisho yamiaka 50 ya Mapinduziya Zanzibar
Meneja
Kituo cha Zanzibar Bw. Said Khamis akimwelezea mwananchi njia
mbalimbali za ukusanyaji wa takwimu za hali ya hewa kwenye maonesho ya
maadhimisho yamiaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar
Wananchi
mbalimbali wakipata maelezo ya kina juu ya umuhimu wataari faza hali
yahe wakati kabanda la TMA kwenye maonesho ya maadhimisho yamiaka 50
yaMapinduziya Zanzibar