LADY JAYDEE AOMBA USHAURI ANATAKA KUBADILI JINA LA BENDI YAKE, SOMA HAPA HILI UMPATIE USHAURI WA JINA JIPYA

Muimbaji wa kike wa muziki wa kizazi kipya nchini Lady Jaydee afikiria kubadilisha jina la band yake kutokana na machozi yaliyokuwa yakimliza kipindi hicho yameshafutika.
Amefikiria kubadilisha jina hilo la bendi yake na isiitwe Machozi Band kama ilivyozoeleka kutokana na sasa hatoe tena machozi kama ilivyokuwa hapo awali. Kupitia ukurasa wake wa Facebook aliandika hivi " Nafikiria kubadilisha jina la band sababu Machozi Machozi niliolia zamani yashafutika. Mnashaurije???" alitupia swali hilo kwa mashabiki wake


Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...