PICHAZ...MAJANGA..AJALI MLIMA KITONGA..MAGARI YASIMAMA MASAA MANNE...!!JIONEE MWENYEWE HAPA...!



Baadhi ya abiria wa kutoka sehemu mabalimbali wakisubiri lori lililoziba barabara kuondolewa baada ya kupata ajali ya kugongana na lori jingine kwenye mlima Kitongo. Ajali hiyo imesababisha magari mengi kuweka kambi kwa muda wa zaidi ya saa nne.

Lori la mafuta lililopo upande wa kulia na lori la mizigo lililopo upande wa kulia yaligongana na kuziba barabara kwenye mlima kitonga na kusababisa magari mengine kukwama kwa zaidi ya saa manne
Lori likiwa limetumbukia kwenye korongo mlimani kitonga


Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...