Home »
Uncategories »
OMMY DIMPOZ AREKODI NGOMA MPYA MAREKANI
OMMY DIMPOZ AREKODI NGOMA MPYA MAREKANI
Unknown
5:42 PM
STAA
wa ngoma ya Tupogo Omary Nyembo‘Ommy Dimpoz’yupo nchini Marekani
akipiga shoo mbalimbali huku akifanya maandalizi ya kurekodi ngoma yake
mpya.
Ommy
amepost video mtandaoni ikimuonyesha akiwa kwenye studio moja ya nchini
humo aliyoitaja kwa jina la Xtrim records akirekodi ngoma hiyo ambayo
haijajulikana itaitwa jina gani.
Aidha pamoja na kurekodi ngoma hiyo pia Ommy amepost picha mbalimbali akiendelea kuwapagawisha mashabiki wake wa nchini humo.