TAZAMA PICHA ZA MAPOKEZI YA ZITTO ALIVYOTUA KIGOMA MUDA HUU,MAELFU YA WATU WAMPOKEA





Mbunge wa Kigoma kaskani Mh Zitto Kabwe akisalimiana na wakazi wa Kigoma mara baada ya Kuwasili kigoma asubuhi ambapoa wakazi wa kigoma wamejitokeza kwa wingi kumpokea Mbunge wao
 Zitto Kabwe akiwa katika gari la wazi mara baada ya kutua kigoma asubuhii ambapo amepata mapokezi ya kishindo

TUNAOMBA BOFYA HAPA NA ULIKE PAGE YETU KWA HABARI NYINGI ZA KILA SIKU,(USIPITWEEEEEEEE)
wafuasi wa Zitto kabwe wakiwa katika maandamano..

 

2 comments

yeye kama ni wa maana sana anaweza kuondoka tu sisi Watanzania hatutaki mamluki tunataka mabadiliko tumechoka na ukiritimba wa chama kimoja ndani ya mfumo wa vyama vingi

Acha ubwege mtoto wa kiume...na kuamini habari za kupikwa..mbulula wewe.


Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...