DAVID KAFULILA ALIVYOSHANGILIWA BAADA YA KUWASILISHA MAPENDEKEZO YA KAMATI YAKE NAMBA 5 JANA

Mwakilishi wa walio wachache katika kamati namba tano, Mhe. David Kafulila akiwasilisha mapendekezo ya walio wachache katika kamati yake na Deusdedit Moshi.
Mwakilishi wa walio wachache katika kamati namba tano, Mhe. David Kafulila katikati akishangiliwa na baadhi ya wajumbe baada ya kuwasilisha mapendekezo yao.
Mwakilishi wa walio wachache katika kamati namba tano, Mhe. David Kafulila katikati akipongezwa na baadhi ya wajumbe baada ya kuwasilisha mapendekezo ya walio wachache katika kamati yake.
(Picha na na Deusdedit Moshi)


Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...