Back to Lulu vaazi lake ndilo lilikuwa the Mshtuko of watu wengi mle Ukumbini'' Yani aliingia Watu ni kujeukiana na kumfyetua picha za nyuma nyuma...I see it all'' And my self I did make sure sijamkosa kosa'' But ana bahati sijaenda na camera kubwa ya kumfyetua mtu hata akiwa kitandani kwake ''chezea Mimi hapana jamani '' nafanya hivyo kwasababu nawapendeni mtokeleze kisawa sawa ikiwa mmekwenda kwenye SHUGHULI ZA WATU HASA ZENYE DRESS CODE''Kama hii '' full dress code was out siku nyingi na siyo over night'Na waalikwa wote walipewa card vile vile Rangi za ukumbi zilikuwa out and open for kila mwalikwa na wenyewe shughuli au waalikwa na kualikana''
Ni muhim sana unapo alikwa kwenye Shughuli kama hizi na kuuliza watu wanavaaje''je ''is there any dress code'' if not ''then ''vaa kiheshima kwa kujiheshim kwenda kwa watu''vinginevyo ''ikiwa unafanya yako ''vaa mpaka chupi ni Ruksa na pia ukiwa unakwenda kwenye Clubs vaa upendavyo '' Paparazi wa Flora Lyimo Fashion Police watakunasa tu'' na siyo mpaka Flora Lyimo kukuwepo kwenye hizo shughuli ''Mpo hapo eee''
RUSHA ROHO MPAKA ASUBUHI ''NI RUKSA ,TAARABU NI TAMU NA KURUSHA ROHO ZISIZO NA KIPIMO KWA MAGAUNI MAREFU TU''
Jamani Ndugu zangu Watanzania ikiwa kuna nilie mkwazisha naomba Anisamehe na ajue nipo kazini ''nafanya my job ''of kuhakikishia watu hawashafuliwi shughuli zao ''Mpo hapo eeee''Pia mmeona tangu nianzishe Flora Lyimo Fashion Police Blog'' Wengi wamejirekebisha hatariii'' Mnaona Vile ZAOMBA MATATA''ANAVYO VAA SIKU IZI MASHUGHULINI ? Yote hayo ni kwa sababu ya Flora Lyimo Fasion Police'' Na pia kuna wengi sana ambao hawapo kimajini in my mind ''But wanajijua na wengi siku izi huniona na kuja kuniambia Flora Lyimo Fashion Police ''wewe ni nomaa'''ulinitoa kwenye Blog yako na sasa ona ninavyojivalia mweneywe maana nakuogopa hatari ''na sasa nakupenda sana''kwani umenifundisha kuvaa''You see'' Yani watu kama hao kwa kweli hunipa moyo wakuendeleza hii FYETUA FYETUA YA KUWANASA WACHAFUAJI WA SHUHULI ZA WATU ''AND WENGI PIA HUNILETEA PICHA SO I DONT EVEN NEED TO BE AT THE SHUGHULI ZENYEWE''ILA KUMBUKA UNAPOTOKA KWENDA KWENYE SHUGHULI UNA UHAKIKA WA 89% YAKUKUTANA HUKO NA FLORA LYIMO FASHION POLICE' SO KAA NA VAA UKIJUA HILO''
ASANTENI NAWAPENDENI NYOTE NA MUNGU AZIDI KUTUBARIKI 'TUPENDANENI WATANZANIA WENZANGU NA TUSIGOPEANE KUAMBIANA UKWELI'' RUWA MANGI'
FLORA LYIMO FASHION POLICE BLOG.