Kifo
cha Recho kimekuja ndani ya wiki moja baada ya kufariki kwa msanii
mwingine wa Bongo Movi Adam Kuambiana Jumamosi iliyopita, kifo hiki
kimeleta mstuko mkubwa kwenye tasnia ya ya filamu za kibongo. Habari na
picha zaidi zitawajia baadae.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)