BREAKIN NEWZZZ:- BINGWA WA NGUMI ZA UZITO WA JUU BONGO AFARIKI DUNIA LEO!! Unknown 1:42 PM Maulid Kitenge Very sad news! Rafiki yetu bondia wa uzito wa juu wa zamani wa Tanzania Iraq HUDU Kimbunga (huyo wa katikati katika picha hii) amefariki dunia alfajiri ya leo katika hospitali ya Hindu Mandal. Innalilah @rehemakays@mwaipayaabdallah@jkikwete Share this Share on FacebookTweet on TwitterPlus on Google+