MAREHEMU GEORGE TYSON KUAGWA LEADERS CLUB, KUZIKWA KWAO KISUMU NCHINI KENYA. Unknown 9:24 AM Mwili wa mwongozaji na mtayarishaji wa filamu nchini, George Tyson utaagwa katika Viwanja vya Leaders na baadaye utasafirishwa kwenda nchini Kenya kwa mazishi. Kwa mujibu wa ndugu wa marehemu, Tyson atazikwa Kisumu, Kenya Juni 7 mwaka huu. Share this Share on FacebookTweet on TwitterPlus on Google+ Related PostsFAHAMU MAMBO MUHIMU KUHUSU VVU/UKIMWILAANA: DANSA WA BOB JUNIOR AKUTWA AKIFANYA MAMABO YA WAKUBWA HADHARANI...!LULU NA ALIKIBA KWENYE PENZI JIPYAA...!! Katibu msaidizi wa Mbunge Lukuvi aachiwa huru baada ya kutuhumiwa na UjangiriNEWS ALERT: MGANGA ANASWA LIVE NA KIGANJA CHA BINADAMU CHA MKONONI AKIUZA KWA THAMANI YA SHILINGI ZA KITANZANIA MILIONI 100 BREAKING NEWS! AJALI YATOKEA MLIMA WA MZALENDO IGAWILO JIJINI MBEYA KUELEKEA DAR ES SALAAM.