MAREHEMU GEORGE TYSON KUAGWA LEADERS CLUB, KUZIKWA KWAO KISUMU NCHINI KENYA. Unknown 9:24 AM Mwili wa mwongozaji na mtayarishaji wa filamu nchini, George Tyson utaagwa katika Viwanja vya Leaders na baadaye utasafirishwa kwenda nchini Kenya kwa mazishi. Kwa mujibu wa ndugu wa marehemu, Tyson atazikwa Kisumu, Kenya Juni 7 mwaka huu. Share this Share on FacebookTweet on TwitterPlus on Google+ Related PostsMAGAZETI YA LEO JUMATANO TAREHE 28.05.2014ANGALIA PICHA MWANAMKE ACHANWA NA VIWEMBE KWA WIVU KUMBUKUMBU YA KIFO CHA MANGWEA JUNI 28, SAMAKI SAMAKI MOROGOROWATUHUMIWA WALIOMFICHA MTOTO KWENYE BOKSI WAFIKISHWA MAHAKAMANI RACHEL WA BONGO MUVI NA KICHANGA CHAKE WAAGA DUNIAMBUNGE WA NKAASI MH ALLY KESSY ASEMA WAZANZIBAR WANAMCHOSHA,NI MZIGO