MAREHEMU GEORGE TYSON KUAGWA LEADERS CLUB, KUZIKWA KWAO KISUMU NCHINI KENYA. Unknown 9:24 AM Mwili wa mwongozaji na mtayarishaji wa filamu nchini, George Tyson utaagwa katika Viwanja vya Leaders na baadaye utasafirishwa kwenda nchini Kenya kwa mazishi. Kwa mujibu wa ndugu wa marehemu, Tyson atazikwa Kisumu, Kenya Juni 7 mwaka huu. Share this Share on FacebookTweet on TwitterPlus on Google+ Related PostsBAADA YA KUTOKA LUPANGO:.LULU AMCHEFUA ALIYEMFADHILI GEREZANI!GARI LA DIAMOND’ LAPIGWA BEI, TIRIRIKA HAPA KUPATA KISA KIZIMAMICHAEL AGUSTINE LUKINDO MTANZANIA ALIYEFARIKI WISCONSIN WANATAFUTWA NDUGU ZAKE MAITI KUCHOMWA MOTO JUMAMOSIUZINDUZI WA MCHAKATO WA KUANZISHA TIKA (TIBA KWA KADI) KATIKA HALMASHAURI YA MJI KOROGWEPROFESSOR JAY AFUNGUKA NA KUSEMA HAYA KUPITIA UKURASA WAKE WA FACEBOOK MAGAZETI YA LEO JUMATANO MARCH 26, 2014