MAREHEMU GEORGE TYSON KUAGWA LEADERS CLUB, KUZIKWA KWAO KISUMU NCHINI KENYA. Unknown 9:24 AM Mwili wa mwongozaji na mtayarishaji wa filamu nchini, George Tyson utaagwa katika Viwanja vya Leaders na baadaye utasafirishwa kwenda nchini Kenya kwa mazishi. Kwa mujibu wa ndugu wa marehemu, Tyson atazikwa Kisumu, Kenya Juni 7 mwaka huu. Share this Share on FacebookTweet on TwitterPlus on Google+ Related PostsMWANAFUNZI WA CHUO AFARIKI DUNIA CHUMBANI AKIJARIBU KUTOA UJAUZITO SWIMMING POOL YA LANDMARK YA MBEZI BEACH IMEUA WANAFUNZI WATATU WA SHULE YA MSINGIMAGAZETI YA LEO JUMANNE APRIL 29-04-2014 Mfahamu vizuri mwigizaji Jacob Steven (JB). Ametoka wapi na historia yake yote kwa ufupi mpaka sasaNI ZAIDI YA LAAANAAA: WAKUBWA TU, CHECK HIVI NDIVYO WATU WALIVYO SHEHEREKEA MKESHA WA PASAKA!!MAJANGA:MTU MMOJA AMEUAWA MAENEO YA MBEZI SALASALA