SHILOLE KAYAACHIA MAPAJA NJE NJE BILA KUOGOPA MASHABIKI WAKE

 
So bad leo katika pitapita kwenye mitandao ya kijamii, makubwa haya tukabaini picha za kihasarahasra ambazo zimepigwa na staa shilole nchni muscat, mashabik wakalalamika sana na kusema haiwezekani staa 
shilole avae nguo fupi katika nchi ya waarab kama ile, Ukweli ni kwamba ni kweli nchi inatamaduni zake na sheria zake, bt ukweli ni kwamba picha hizo amezipiga


PICHA TATA ZAIDI B0NYEZA HAPA CHINI FASTAA
akiwa hotelini na kwenye kordo ya hotel, ila akiwa barabarani anatupia ushungi kama hivi.

Nazani mmejione wenyewe. 


Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...