SABABU YA KOCHA WA SIMBA KUFUKUZWA KAZI KUMBE NI MBEBEZ WA BONGO MUVI !!

 Mmoja wa wasanii maharufu wa tasni aya filamu amabye jina lake lina fanana na moja ya sofa maharufu Duniani ametajw akuwa ni chanzo cha kufukuzwa kwa kocha wa simba Zdravko Logarusic mara baada ya kumfungia mpaka saa saba za usiku mara baada ya kumalizika kwa mechi ya simba day.

Msanii huyo ambaye alishatajw amara kwa mara katika baadhi ay mitandao ya kijamii kuwa namhusiano na loga na ni mmoja kati ya wasanii wajane ambao wapo katika tasnia ya filamu hpa nchini ameweza kumduwaza kocha huyo kiasi cha kusahau majukumu yake.


Kocha wa Simba, Zdravko  Logarusic, akitoka nje ya hoteli ya serena jijini Dar es Salaam huku akisindikizwa na mmoja wa wajumbe wa kamati ya utendaji wa klabu hiyo,Colin Frisch, tayarai kwa safari ay kwenda kwao.Picha na Humphrey Shao. 


 Rasi wa simba evance aveva akizungumza na waandishi wa haabri katika hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam , pembeni yake ni Said Tully na Colin Fish






Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...