KARAHA YA MVUA DAR:. DADA AANGUSHWA KWENYE DIMBWI WAKATI AKIVUSHWA

Dada akiwa amebebwa alipokuwa akivushwa kwa malipo kwenye dimbwi la maji ya mvua eneo la Magomeni Kagera,     Dar es Salaam.

Mbebaji akiwa amemwangusha dada huyo kwenye dimbwi

Dada akimkunja kijana aliyemdondosha kwenye dimbwi.

Wasamaria wema wakimsaidia dada kumtoa kwenye dimbwi

Dada akilia baada ya kuokolewa.PICHA ZOTE NA KHAMIS MUSSA


Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...