Shilole kama kawaida.
Shilole akiwa kazini baada ya kutoa mwaliko wa kudance na shabiki
Juma Nature na timu yake..
Chege na Temba

Godzilla…
Cassim Mganga
Young Killer Mwanza Mwanza


Stamina…
Kingzillah…
Mr Blue




Ay

Mwana FA








J Martins wa Nigeria nae alikuwepo kufanya showa mbapo kama ilivyotekea kwa show yake ya kwanza ya Fiesta pale 96.0 Tanga, J aligawa zawadi kwa fans aliowaita yeye mwenyewe kwenye stage…. Tanga aligawa cheni pamoja na pesa na Moshi kagawa saa na pesa kwa mashabiki wawili tofauti.






Weusi kwenye stage

Hii picha ya juu na ya chini ni shangwe walilopigiwa Weusi wakati wakiwa kwenye stage

Ay
Mwana FA
J Martins wa Nigeria nae alikuwepo kufanya showa mbapo kama ilivyotekea kwa show yake ya kwanza ya Fiesta pale 96.0 Tanga, J aligawa zawadi kwa fans aliowaita yeye mwenyewe kwenye stage…. Tanga aligawa cheni pamoja na pesa na Moshi kagawa saa na pesa kwa mashabiki wawili tofauti.
Weusi kwenye stage
Hii picha ya juu na ya chini ni shangwe walilopigiwa Weusi wakati wakiwa kwenye stage
Dullysykes…


Rich Mavoco

Rich Mavoco
Jambo Squad… Mamong’o

Show ilihostiwa na B12 na Dj Fetty kutoka XXL ya Clouds FM.
Ney wa Mitego
Linah Sanga…
Christian Bella…

Ally Nipishe
Ally Nipishe
Mmetisha watu wangu wa nguvu Moshi…. hongereni kwa kumaliza ticket aisee! daaa