TUHUMA NZITO ZAIBUKA JUU YA TUKIO LA KUPIGWA RISASI MWANDISHI NA MTANGAZAJI UFOO SARO

TUHUMA MPYA DHIDI YA UFOO SARO:
WAKATI bado unasubiriwa uchunguzi kuhusu tukio la kinyama lilomkuta mwandishi wa habari wa ITV na radio one Ufoo Saro,taarifa nilizozipata kutoka kwa ndugu wa marehemu Atery Mushi, ni kuwa marehemu mushi alikuwa ana ugomvi wa muda mrefu kuhusu nyumba ambayo ilikuwa ikimilik iwa na marehemu Mushi.
Ni kuwa wakati marehemu Mushi akiwa nje ya nchi,Ufoo alifanikiwa kubadilisha hati za umiliki wa nyumba hiyo iliyopo maeneo ya Minjingu, manispaa ya Arusha kwa kushirikiana na mama yake.
Marehemu Mushi aliporudi alijaribu kuwawekea vikao x3 kuhusu jambo hilo lakini hakufanikiwa.Kutokana na dhahama hiyo ndipo marehemu Mushi alipoamua kuandika maelezo juu ya mambo aliyofanyiwa na uamuzi aliouchukua.barua alioindika aliiacha nyumbani kwa mama yake Ufoo.
kama uchunguzi ukikamilika huenda police wakaiweka hadharani,pia kuna uwezekano wa Ufoo kukabiliwa na mashtaka mara atakapotoka hosp. kutokana na maelezo ya barua aliyoiandika Mushi kabla ya kujiua.
Marehemu Atery Mushi anatokea ktk kijiji cha Uru Maeda mkoani Kilgmanjaro...soure:ndugu wa karibu wa marehemu Mushi.
Source:Jamii Forums


Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...