MVUA KUBWA ILIYOAMBATANA UPEPO YAHARIBU NYUMBA ZAIDI KUMI ILOLO JIJINI MBEYA

Bibi Enea mwenye umri zaidi ya miaka 80 akilia kwa uchungu kuwa vitu vyote vya ndani vimeharibika pia anamshukuru mungu kumponya na mafuriko hayo kwani alikuwa amelala maji ndiyo yamestua kitandani kwani maji yaliingia mpaka ndani



Bibi Enea mwenye umri zaidi ya miaka 80 mkazi wa Ilolo akituonyesha jinsi maji yalivyoharibu vitu vyake




Mwandishi wa Mbeya yetu joseph mwaisango akimpa pole bibi Enea kwa kumpa kiasi kidogo cha msaada ili kimsaidie kwa siku hiyo maana chakula chote kimeharibika na maji


Kanisa la Moravian Ilolo likiwa limejaa maji ndani



Hakika inasikitisha watoto hawa wametoka shule wanakuta nyumba yao imebomoka na mvua kubwa ilionyesha jijini Mbeya  wazahi wa watoto hao hawakuwepo nyumbani









Mwenyekiti wa mataa Sinde A  Anyandwile Mwansanu akiongea na waandishi wa habari





Mama na mwanae mgongoni hajui aanzie wapi kutoa maji yalioingia nyumbani kwake














Habari kamili ya tukio zima tutawaletea baadae

Picha na Mbeya yetu


Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...