Home »
Uncategories »
BREAKING NEWS:. WANNE WAUAWA MWANZA WAKIDAIWA KUIBA NG'OMBE
BREAKING NEWS:. WANNE WAUAWA MWANZA WAKIDAIWA KUIBA NG'OMBE
Unknown
3:25 PM
WATU
wanne wameuawa na wananchi waliokuwa na silaha za jadi kisha kukatwa
mapanga wakituhumiwa kuiba ng'ombe katika kijiji cha Igwambiti,
Kitongoji cha Buhongwa, Kata ya Nyamagana, Mkoani Mwanza leo asubuhi.