
Mbunge wa Kyela Dr. Mwakyembe akikagua Barabara iendayo Bandari ya Kiwira Muda huu

Baadhi ya watu wakigangaika kupita juu ya maji hayo yaliyotokana na Mafuriko


Baadhi ya watu mbalimbali wakiwa wanashuhudia Mafuriko hayo muda huu

Gari Likiwa limekwama katika tope lililotokana na Mafuriko hayo, hili ni eneo la Bujonde

Picha kwa Hisani ya Kaka yetu mdau Mkubwa wa Mbeya yetu Blog Felix Mwakyembe
Chanzo Ni Mbeya yetu.