Home »
Uncategories »
KIKOSI CHA USALAMA BARABARANI CHAENDESHA UKAGUZI WA MAGARI KWA WAFANYAKAZI WA AIRTEL
KIKOSI CHA USALAMA BARABARANI CHAENDESHA UKAGUZI WA MAGARI KWA WAFANYAKAZI WA AIRTEL
Unknown
5:51 PM
CPL
Jumaa Mwalimu wa kituo cha polisi Oyesterbay akikagua gari la mmoja wa
wafanyakazi wa Airtel Bi. Susan Kajubili wakati polisi kikosi cha
usalama barabarani kilipoendesha zoezi la ukaguzi wa magari kwa
wafanyakazi wa Airtel katika kutimiza lengo la wiki ya nenda kwa usalama
barabarani. Zoezi hilo lilifanyika katika makao makuu ya Airtel
Morocco.
CPL
Jumaa Mwalimu wa kituo cha polisi Oyesterbay akikagua tairi la gari la
mmoja wa wafanyakazi wa Airtel James Majwala wakati polisi kikosi cha
usalama barabarani kilipoendesha zoezi la ukaguzi wa magari kwa
wafanyakazi wa Airtel katika makao makuu ya Airtel Morocco.
Mfanyakazi
wa Airtel bwana Jacob Malisa akibandika stika ya usalama barabarani
mara baada ya gari lake kukaguliwa na kuthibitishwa kufaa kutembea
barabarani. Zoezi la ukaguzi wa magari lilifanyika jana katika ofisi za
makao makuu ya Airtel na kuwashirikisha wafanyakazi wa kampuni hiyo.
CPL
Jumaa Mwalimu wa kituo cha polisi Oyesterbay akikagua uhalali wa stika
ya leseni ya barabarani katika moja ya gari la mfanyakazi wa Airtel
Bwana Francis Ndikumwami wakati polisi kikosi cha usalama barabarani
kilipoendesha zoezi la ukaguzi wa magari kwa wafanyakazi wa Airtel
katika makao makuu ya Airtel Morocco.
Inspekta
Serengeti Action wa kituo cha polisi Oyesterbay akiingia katika moja ya
gari la mfanyakazi wa Airtel Bi. Aminata Nakieta tayari kwa ukaguzi.