Breaking News: Auction MArts wapigwa STOP kufunga na kukamata magari

Kampuni zote zinazojishughulisha na ukamataji na ufungaji magari yaliyoegeshwa kiholela zimepigwa marufuku kutokana na malalamiko mbali mbali ya wananchi yakiwemo ya kuharibiwa magari,rushwa pamoja na kampuni hizo kufanya kazi kinyume cha sheria.source ITV


Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...