![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgidAzwfWBvk7uXnHt1401O0p3An6Bk8htxZ2LTQEUrhEiiAk9LfYB26neOsBXPwGX9gplUZ82pfg9bwdLWUOfsoxXYdt6ykivlHQsep5RHrCyA20hRggxFQ95_9w_ACvN7TCF9JGa9BPU/s1600/10417664_10203065531937023_5187901385247589694_n.jpg)
Taarifa
zilizotufikia katika Chumba cha Habari muda huu zinasema kwamba ,
Muimbaji wa Nyimbo za Injili Deborah John Said Amefariki Dunia katika
Hospitali ya Muhimbili. Endelea kufuatilia hapa kwa taarifa zaidi.
Tunatoa pole kwa wote waliopatwa na Msiba huu Mkubwa.
Amen