EDEN HAZARD `ASILIMIA 100` KUBAKIA CHELSEA, AANZA MAZUNGUMZO YA MKATABA MPYA

Committed: Eden Hazard insists he is happy to remain at Chelsea, ending speculation about a summer transfer 
Kujifunga: Eden Hazar amesisiza kuwa na furaha kubakia Chelsea na kumaliza tetezi za uhamisho majira ya kiangazi.
Imechapishwa Juni 10, 2014, saa 5:46 asubuhi

Eden Hazard amedai kuwa kwa `asilimia 100` atabakia Chelsea na amethibitisha kuanza mazungumzo ya kuongeza mkataba mpya.
 Kocha wa Paris Saint Germain, Laurent Blanc alisema hadharani kuwa klabu hiyo ya Ufaransa inatamani kumsajili mshambuliaji huyo.
Lakini mtandao wa Sportmail alhamisi iliyopita ulitoa taarifa kuwa mchezaji huyo wa kimataifa wa Ubelgiji yuko katika harakati za kusaini mkataba mpya wa miaka mitano katika klabu yake ya Chelsea na atakuwa analipwa paundi laki mbili kwa wiki.
Focus mode: Hazard is currently preparing to represent Belgium in the 2014 World Cup in Brazil 
 Hazard kwasasa anajiandaa kuiwakilisha Ubelgiji kwenye fainali za kombe la dunia 2014 nchini Brazil.


'Nibakia Chelsea, nina asilimia 100`, alisema nyota huyo mwenye miaka 23.
`Kiukweli katika mpira huwezi kujua, lakini nipo chini ya mkataba na Chelsea na nataka kukaa pale`.
"Nipo katika mazungumzo ya mkataba mpya na Chelsea. Mazungumzo ndio kwanza yanaanza, lakini bado tuna muda".
"Lakini ukweli ni kwamba, Chelsea wamenipa ofa ya mkataba mpya ambao utanifanya nijiamini zaidi, kwamba nitafanya kazi nzuri zaidi na watanifurahia".


Mega money: Hazard could be in line to agree terms on a £200,000-a-week contract with Chelsea 
 Hazard yuko mbioni kuanza kula mshahara wa paundi laki mbili kwa wiki katika mkataba mpya na Chelsea
Spurned: Laurent Blanc had wanted to take Hazard to Paris Saint-Germain this summer 
Laurent Blanc anataka kumsajili Hazard  katika klabu yake ya Paris Saint-Germain majira ya kiangazi.


Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...