HAKIKA USIJEZEE AJIRA......VIJANA ELFU KUMI WAFURIKA UWANJA WA TAIFA KUGOMBEA NAFAZI 70 TU ZA KAZI KIMBEMBE LIVE!

Hii sio Brazil... ni uwanja wa taifa Dar, ambapo vijana wasomi wa nchi hii wamekusanyika kufanya interview UHAMIAJI. Kati ya vijana wote hawa zaidi ya 10,000 ni vijana 70 tu wanaohitajika. Means watakaoajiriwa. It is very embarassing kwa kweli. Kila la heri vijana wenzangu mnaojaribu bahati yenu hapo Uwanjani.!!
Hii sio Brazil... ni uwanja wa taifa Dar sasa hivi, ambapo vijana wasomi wa nchi hii wamekusanyika kufanya interview UHAMIAJI. Kati ya vijana wote hawa zaidi ya 10,000 ni vijana 70 tu wanaohitajika. Means watakaoajiriwa. It is very embarassing kwa kweli. Kila la heri vijana wenzangu mnaojaribu bahati yenu hapo Uwanjani.!!   
        Hakika   inahitajika   nguvu  ya  ziada   kutatua  tatizo  la    ukosefu   wa   ajira   Tanzania


Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...