KAJALA AWAVULIA UVIVU WATU WALIOMTUKANA MWANAYE HUKO INSTAGRAM, SOMA ALICHOKISEMA

clip_image001Instagram kumechafuka, yani watu wanatukana wanavyojisikia, hawaogopi kitu chochote kile. Matusi hayo yamemkuta kajala, katukaniwa mtoto wake hadi kashindwa kukaa kimya. Hiki ndo alichokiandika Instagram kuhusiana na ishu hiyo.
“Nadhani kila binadamu anaufanya kitu anacho penda lkn kama nyinyi wote mnaona mm ninacho fanya nakosea siwezi kuwaraumu nawaomba mnitukane usiku kucha mkilala nitukaneni mkiamka nitukaneni nimeshazoea nilikuwa naumia mwanzo lkn sasa siumii tena ninacho waomba amjui nimepata tabu gani na mwanangu kwaiyo kama anae wakosea ni mm na sio mtoto wangu basi naomba mnitukane mm na umaya wangu msimuingize mwanangu please please nawaomba sana kiroho safi .....”
>>Bongoclan


Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...