Matokeo
 hayo yanaifanya Mbeya City imalize hatua ya makundi kwa kujikusanyia 
 pointi nne baada ya mechi tatu, lakini ipo katika nafasi ya pili nyuma 
ya miamba ya soka nchini Kenya, AFC Leopards walioongoza kundi kwa 
pointi 9.
Mchezo
 wa mwingine wa usiku, AFC Leopard walishinda bao 1-0 dhidi ya Academie 
Tchite ya Burundi na kushinda kwa asilimia 100 katika kundi lao.
Bofya www.bkmtata.blogspot.com kusoma zaidi
